Timu ya Tanzania ya vijana chini ya
umri wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’inashuka dimbani leo kuchuana
na Malaysia.Mchezo huu utapigwa katika uwanja wa Tilak, Maidan mjini Goa
India ikiwa ni mchezo wa kuwania nafasi ya tatu kwenye michuano maalumu
ya kimataifa yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka nchini humo (AIF
Youth Cup 2016 U-16).
India kimeandaa mashindano ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kikosi chao kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia kwa Vijana zitakazofanyika nchini humo mwaka 2017.
0 comments:
Post a Comment