Comments


BONDIA VICENT MBILINYI AENDELEA NA MAZOEZI KUPANDA ULINGONI JUNE 4.

IMG_0641Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kushoto akimnowa bondia Vicent Mbilinyi akimwelekeza jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini ‘Upucat’   Mbilinyi ambaye atapanda uringoni katika mpambano wake mwingine utakaofanyika juni 4 katika uanja wa ndani wa Taifa.
IMG_3430Mabondia Ramadhani Maonya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yanayoendelea katika uwanja wa basket Uhuru Dar es salaam.
IMG_3446Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yako yanayoendelea katika shule ya msingu Uhuru Wasichana Dar es salaam .
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system