Polisi kaskazini mwa Australia wanasema kuwa
mwanamke mmoja hajulikani aliko, baada ya
kushambuliwa na mamba alipokwenda
kuongelea usiku.
Mwanamke huyo na rafiki yake walikuwa katika
kidibwi chenye kina kifupi katika hifadhi ya
kitaifa ya wanyama pori ya Daintree.
Hifadhi hiyo ya taifa ipo katika maeneo ya
Queensland, nchini humo.
tukio hilo ni limetokea Jumapili jana, ambapo
hadi sasa inahofiwa kuwa huenda ameliwa na
Mamba.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment