Wachezaji wa Barcelona wakifurahia mara baada ya kutwa kombe la ligi hii leo michezo miwili yakuamua nani atakuwa mshindi wa kombe hilo kwa msimu wa 2015/2016 ilichezwa masaa sawa, Granada walikuwa wenyeji wa Barcelona wakati wapinzani wao Real Madrid walikuwa wakikipiga na klabu ya Deportive La Coruna. Mchezo wa Granada Vs Barecelona ulimalizika kwa Barcelona kuibuka na ushindi wa jumla ya magoli 3-0 magoli ambayo yalifungwa Luiz Suarez katika dakika ya 22, 38, 86 ya mchezo na kuifanya Barcelona kuibuka na ushindi kwenye Mchezo huo. Mchezo wa pili ulikuwa kati ya Deportive La Coruna dhidi ya Real Madrid ambapo Real Madrid walifainikiwa kuondoka na ushidhi wa Magoli 2-0 magoli yaliyofungwa na Cristian Ronaldo katika dakika ya 7, 25 ya mchezo. kwa hali hiyo barcelona wanaibuka mabigwa kwa point moja |
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment