Kundi la wapiganaji wa Kiislamu
Islamic State linakabiliana na vikosi aina mbili tofauti vinavyojaribu
kuliondoa kundi hilo katika maeneo yanahodhi nchini Syria na Iraq.Kundi
la kikurdi la muungano wa makundi yaliyojihami kaskazini mashariki mwa
syria limetangaza kuanza kwa kampeni karibu na himaya yake iliyopo
katika mji wa Raqqa.
Nchini Iraq, vikosi mbalimbali vya jeshi, na watu wa makabila ambayo yanaunga mkono serikali iliyopo madarakani wanaendelea kupambana na kundi la IS katika mji wa Falluja.
0 comments:
Post a Comment