Comments


MBUNGE WA JIMBO LA VUNJO ,JAMES MBATIA.ASHTUSHWA NA MAPOROMOKO YA ARDHI WILAYA YA MOSHI

Mbunge wa Jimbo la Vunjo akisalimiana na mmoja wa waathirika wa mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni na kusababisha kufusi kilichokuwa kando ya nyumba yake kuporomoka na kuhatarisha maisha yake katika kijiji cha Iwa ,Kirua Vunjo katika wilaya ya Moshi.
Mbunge wa jimbo la Vunjo James Mbatia akizungumza jambo mara baada ya kutembelea familia ambazo nyumba zao zimeathirika na mvua zilizonyesha hivi karibuni baada ya kuangukiwa na vifusi na kunusulika vifo.
Mbunge wa jimbo la Vunjo akitizama zoezi la uondoaji wa Vifusi vilivyo poromoka kutoka na mvua zinazoendelea kunyesha.
Sehemu ya Kifusi kilichoporomoka kando ya nyumba .
Mkazi wa kijiji cha Iwa ambaye nyumba yake iliathirika na maporomoko ya udongo yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha akimuonesha maeneo yaliyoathirika kuzunguka nyumba hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system