Msemaji wa Terry anasema “msemaji wake alisema haya ni maamuzi magumu kwa John Terry na familia yake na wanafikiria kwanza”
Chelsea itasimamiwa msimu ujao na boss mpya ambaye ni Antonio Conte anayechukua mikoba ya Guus Hiddink, aliyechukua nafasi ya Jose Mourinho.
0 comments:
Post a Comment