Mgeni rasmi bwana Samwel Senyege akitoa utangulizi mfupi katika semina ya ujasiriamali iliyofanyika katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha {AJTC} hii leo. |
Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha [AJTC] wakifuatilia kwa umakini mafunzo ya ujasiriamali yanayoendelea hii leo katika ukumbi wa chuo hicho |
0 comments:
Post a Comment