Comments


KANU AFUNGUA DUKA LA STARTIMES

1
Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Star Times Bw. Leo pamoja na Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria  wakikata utepea kuashiria uzinduzi rasmi wa duka la Star Times lililopo katika jengo jipya la Mkuki Mall jijini Dar es salaam, Nwanko Kanu aliwasili jana usiku kwa ajili ya sshughuli mbalimbali za kampuni ya Star Time hapa nchini.
2
 Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Star Times nchini Tanzania Bw. Leo mara baada ya kuzindua duka hilo.
3
Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Star Times nchini Tanzania Bw. Leo mara baada ya kuzindua duka hilo.
4
Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akielekea kwenye eneo la mkutano na  Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Star Times nchini Tanzania Bw. Leo pamoja na maofisa mara baada ya kuzindua duka hilo.
5 6
 Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Star Times nchini Tanzania Bw. Leo akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo huku Nwanko Kanu akisikiliza kushoto ni Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Zuhura Hanif .
7
Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuzindua duka hilo.
9
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Star Times wakiwa katika mkutano huo.
10
Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo, Kushoto ni Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Zuhura Hanif .
11
Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akipiga picha ya pamoja na uongozi wa kampuni ya Star Times na uongozi wa jengo la Mkuki Mall na wafanyakazi wake.
12
Nwanko Kanu Balozi wa Star Times Afrika na  Mchezaji wa zamani wa timu ya Asernal ya Uingereza na timu ya taifa ya Nigeria akipiga picha ya pamoja na uongozi wa kampuni ya S
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system