Comments


MOURINHO AMTOA HOFU DEGEA

1443951102_01_5b54be54-5989-1_2484412a
Ujio wa Kocha Jose Mourinho katika klabu ya Manchester United kunaweza kuwa sababu mojawapo ya kumbakiza kipa wa Man United, David De Gea ambaye kabla ya kuchukuliwa kwa Kocha Mourinho alinukuliwa akisema kama Van Gaal atasalia klabuni hapobasi yeye ataondoka.

Akizungumza la gazeti la Marca la Hispania, De Gea almtaja Mourinho kama moja ya makocha bora na anataraji kushinda mataji kwa misimu inayofuatia.

“Kuzungumza kuhusu Jose ourinho ni kuzungumza kuhusu kocha anaye shinda, na huo ndiyo utamaduni wa Manchester United na hata kwangu. Kwa mtazamo wangu tutakuwa na timu kubwa. Ninamkaribisha,” alisema Mourinho.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system