Comments


HABARI PICHA ;WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHII AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WAO


 Waziri wa mambo ya ndani ya nchi MH;Mwigulu Lameck Nchemba amewataka viongozi wadini kufuata maadili na kuzingatia sheria na taratibu za nchi.

MH Nchemba ameyasema hayo hii leo wakati wa ufunguzi wa semina elekezi ya viongozi wakuu wa Agape (WUEMA)SANCTUARY MINISTRIES INTERNATIONAL TANZANIA


Askofu mkuu wa kanisa ;la Agape ASKF;Willison Martin Gwila akisoma hutuba fupi kwa mgeni rasmi.




Baadhi ya waumini wa Kanisa la Agape wakiwa wanashuhudia msafara wa waziri wa mambo ya ndani akiwasili kanisani hapo


Viongozi wa wakuu wa Agape wakimpungia  waziri wa mambo ya ndani ya nchi mh Mwigulu Nchemba wakati akiondoka kanisani hapo



Askofu Mkuu wa Kanisa la Agape akinena jambo na moja ya viongozi wa kanisa hilo.
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa katika kanisa la Agape Wuema Sanctuary Ministriesinternational tanzania meseriani Arusha. Picha na Elia Baraka



Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system