Comments


HABARI PICHA ZLATANI AANZA MAZOEZI RASMI NA UNITED

Mshambualiaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic kwa mara ya kwanza ameungana na wachezaji wenzake wa klabu hiyo ya Uingereza na kufanya mazoezi kwa pamoja.
Ibrahimovic amejiunga na Manchester United akitokea PSG ya Ufaransa baada ya mkataba na timu hiyo kumalizika.
36AB3FB300000578-3712624-image-m-70_1469712311209
36AB62E300000578-3712624-image-a-116_1469713360325
36AB628300000578-3712624-image-a-85_1469713049894
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system