Kwa mujibu wa Meya wa Manispaa ya Ilala Jery Slaa amethibitisha kutokea ajali hiyo ambayo pia amempoteza baba yake.
Amesema kwamba anamshukuru Rais Jakaya Kikwete, Dr John Magufuli, IGP Ernest Mangu, Katibu mkuu Dr, Meru na maafisa wa TCAA na wote walioshiriki kuwatafuta wahanga wa tukio hilo
Aidha. rubani Capt. William Slaa ambaye ni baba yake na pia amempoteza Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe.
Aidha. rubani Capt. William Slaa ambaye ni baba yake na pia amempoteza Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe.
Katika tukio hilo, Chopa hiyo ilipata ajali kwenye msitu wa Selous ambapo ndani kulikuwa na Rubani, Mbunge Filikunjombe na abiria wengine ambao wote wamefariki dunia wakitokea Dar es salaam kwenda Ludewa.
0 comments:
Post a Comment