Klabu ya chelsea imeendeleza wimbi la kufanya vibaya katika michezo ya ligi kuu england mara baada ya kuchapwa goli 2-1 na westham unted.
Kichapo hicho kinaifanya chelsea kufugwa mechi 5 mpaka kufikia sasa mara baada ya kukubali kichapo hicho.
chelsea matumaini yao yalianza kuzimwa mara baada ya beki wao nemanja matic kupewa kadi nyekundu dk ya44 kipind cha kwanza cha mchezo.
Hivyo chelsi wakijikuta wana mlima mzito wa kupanda kutokana na kadi hio, Mbali na hilo kocha wa chels hakufurahishwa na kadi hio nakuanza kumlalamikia kamisa wa mchezo huo kitu kilichopelekea morinho kupandishwa jukwaani.
Nakufanya wachezaji wake kufedheheka zaidi ,hadi filimbi ya mwisho westham2 chels1
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment