Comments


MAN CITY YAPATA PIGO.

PIGO KWA CITY.


Image copyrightAFP
Image captionAGUERO
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Sergio Aguero anatarajiwa kukaa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27,ambaye alifunga mabao matano pekee katika ushindi wa klabu ya City dhidi ya Newcastle wikiendi iliopita ,alicheza kwa dakika 22 pekee wakati timu Argentina iliposhindwa na Ecuador.
Image captionDavid Silva
''Nadhani nitakuwa nje kwa kipindi cha mwezi mmoja'' ,Aguero aliiambia TYC Sport katika mji mkuu wa Bueno Aires.
Matatizo ya City vilevile yaliongezeka baada ya David Silva kutoka katika mechi ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Luxembourg baada ya kuteguka kifundo cha mguu.

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system