Mama yake mzazi na Diamond, Sanura Kasim amesema kitu kinachomkosesha raha siku zote ni kuwaza itakuaje kama mwanae akishuka kimuziki! Ameiambia Bongo5 kuwa kama mama mara nyingi anakuwa na wasiwasi juu ya maisha ya mwanae. “Muziki una changamoto sana kama hujakaza unaanguka,” alisema. “Nakuwaga na wasiwasi mwanangu kama akishuka! Kwa sababu washindani wapo wengi, unajifiria.
0 comments:
Post a Comment