Comments


Ujerumani hatukutoa rushwa......

Shirikisho la kandada nchini Ujerumani limekana vikali madai kuwa lilitumia rushwa ili kupata nafasi ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2006.
Image result for ujerumani teamKatika taarifa yake shirikisho hilo lilisema kuwa shutuma zilizotolewa na gazeti la Der Spiegel hazikuwa na msingi wowote.
Image result for ujerumani teamGazeti hilo ambalo halikusema lilitoa wapi habari hizo lilisema kuwa karibu dola milioni sita zilitumika kununua kura kutoka kwa baadhi ya wanachama wa kamati kuu ya FIFA ili Ujerumani ipewe nafasi ya kuandaa kombe hilo.

FIFA inasema kuwa madai hayo dhidi ya Ujerumani yanatiliwa maanani na yatakuwa sehemu ya uchunguzi wa ufisadi katika mchezo wa kandanda duniani
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system