Magufuli amesema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Pwani mjini Mkuranga wakati akiwaomba kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote.
Hadi leo ni siku kumi 10 pekee zimebaki kufanyika kwa uchaguzi mkuu unao subiriwa kwa hamu kubwa kufuatia idadi kubwa ya wananchi kujiandikisha kupiga kura.Amesisitiza kuwa vita hiyo ni lazima iwe kubwa na tuhakikishe tunalinda maliasili za taifa ili watanzania waweze kufaidika na rasirimali zao na kuwajengea uchumi imara wa nchi.
0 comments:
Post a Comment