Comments


MAN UNTED KUIVAA MIDTJYLLAND EUROPA LEAGUE


Uefa Europa League


Man UtdImage copyrightPA
Image captionMan Utd waliondolewa Ligi ya Mabingwa baada ya kumaliza nambari tatu kundi lao

Manchester United watakutana na klabu ya Denmark Midtjylland katika hatua ya 32 bora baada ya kuondolewa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp naye atarejea Ujerumani kupeleka vijana wake wakabiliane na Augsburg.
Baada ya droo kufanywa, Tottenham Hotspur nao wamepewa vijana wa Serie A Fiorentina kwa mara ya pili mtawalia.
Valencia chini ya Gary Neville wamepewa Rapid Vienna.
Mechi za mkondo wa kwanza zitachezwa Februari 18 au 25 na marudiano Machi 10 na 17.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system