Comments


Real Madrid wakalia kuti kavu katika dimba la El Madrigal dhidi ya Villarreal (+Pichaz&Video)


2F58D34E00000578-3358487-image-a-12_1450040157497
Wakati wapinzani wao wa jadi FC Barcelona wakilazimishwa sare ya goli 2-2 dhidi ya Deportivo La CorunaReal Madrid imekubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa VillarrealReal Madrid walikuwa wanatajwa kuwa na nafasi ya kupunguza point na kuwasogelea wapinzani wao FC BarcelonaReal Madrid walifungwa goli la mapema katika dimba la El Madrigal.
2F58FCC600000578-3358487-image-a-27_1450040779231
Kosa la Luca Modric ndio lilisababisha Roberto Soldado kupewa pasi nzuri na kupachika goli hilo dakika ya 9 ya mchezo, goli ambalo limekuwa gumu kurudi na kuwafanya Real Madrid waondoke vichwa chini katika dimba la El Madrigal. Kwa matokeo hayo, Real Madrid itakuwa imezidiwa point 5 na FC Barcelona wanaoongoza msimamo wa Ligi na yenyewe kubaki nafasi ya 3 katika msimamo wa Ligi.
Video ya magoli ya Villarreal Vs Real Madrid
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system