Comments


Mara baada ya mawaziri kuapishwa hatimae waanza kazi rasmi....



NCHEMBA III
Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba amelazimika kusafiri mpaka Morogoro baada ya kuripotiwa kwa taarifa ya ishu ya mapigano kati ya wakulima na wafugaji, mtu mmoja amefariki, wengine wamejeruhiwa wakiwemo Askari Polisi pia.

Chanzo cha mgogoro huo kimetajwa kuwa ni ishu ya mfugaji mmoja kulalamikiwa kuingiza mifugo kwenye shamba la mkulima mmoja na kutokea ugomvi huo mkubwa kati ya wakulima na wafugaji.

NCHEMBAkwa taaarifa zaidi tutakujuza kadri tutakapo zipata
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system