Comments


16 BORA YA UEFA HII HAPA, ARSENAL Vs FC BARCELONA...ratiba kamili hii hapa>>>>>>



Baada ya kumalizika kwa hatua ya Makundi ya mechi za klabu Bingwa Ulaya UEFA, December 14 ndio siku ambayo droo ya kupanga ni timu zipi zitakutana katika hatua ya mtoano wa klabu Bingwa barani Ulaya. Jumla ya timu 16 ambazo zimefanikiwa kuingia hatua ya 16 zimeshajulikana toka December 9 ila December 14 ndio ilikuwa siku ya kufahamu ni timu zipi zitakutana,
2F3824FE00000578-3353037-image-a-25_1449700421460
Hizi ndio timu zilizofuzu hatua ya 16 bora.
Ratiba ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
  • Dynamo Kyiv vs Manchester City
  • Benfica vs Zenit
  • PSV vs Atletico Madrid
  • Juventus vs Bayern Munich
  • Arsenal vs Barcelona
  • PSG vs Chelsea
  • Roma vs Real Madrid
  • Gent vs Wolfsburg
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system