News
Loading...

EBA BLOG

Comments


  • Home
  • Business
    • Featured Image
    • Slider
    • SoundCloud
    • Video
  • Fashion
  • Sports
    • Full Width
    • Right Sidebar
    • Left SIdebar
  • Seo Services
  • Documentation
  • Download This Template
Home / MICHEZO / JE?//Utovu wa Nidhamu wa Jose Mourinho Unaigharimu Manchester United/????

JE?//Utovu wa Nidhamu wa Jose Mourinho Unaigharimu Manchester United/????

Unknown 12:15:00 AM MICHEZO Edit
Mourinho sasa anakabiliwa na adhabu ya kufungiwa mechi mbili baada ya kutolewa kwenye eneo lake kwa mara ya pili ndani ya mwezi mmoja
Manchester United wameshikiliwa kwa sare ya 1-1 na West Ham United na kutengeneza sare ya nne mfululizo katika uwanja wa Old Trafford kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 36.
Mashetani Wekundu wafanikiwa kurejea mchezoni kufuatia kuruhusu goli la mapema lakini walishindwa kuongeza goli la pili licha ya kutengeneza nafasi nyingi, hii inamaanisha wapo pointi 11 nyuma ya kinara wa msimamo wa ligi.

Wagonga nyundo walikuwa mbele ya United ndani ya sekunde 90 tu, wakifunga goli la pili kufungwa haraka katika ziara yao Old Trafford katika historia ya Ligi Kuu Uingereza, shukrani kwa goli safi la kichwa lenye kasi ya risasi la Diafra Sakho.
Baada ya subira ya muda United waliweza kusawazisha, baada ya Paul Pogba kunyanyua mpira juu ya safu ya ulinzi ya wapinzani wao na Zlatan Ibrahimovic akauzamisha wavuni baada ya mwendo wa pasi 22.

Licha ya kuishuhudia timu yake ikitokea nyuma kusawazisha na kuambulia sare, Jose Mourinho hakuwa na furaha na maamuzi ya Jonathan Moss kumwonyesha kadi ya njano Pogba – ambayo itamwondoa kwenye mechi ya marudiano baina ya timu hizi mbili kwenye kombe la EFL Jumatano ijayo – na akabutua chupa ya maji katika eneo lake.

Kwa mara ya pili msimu huu kocha wa Manchester United Jose Mourinho aliondolewa kwenye benchi la ufundi wakati wa mchezo wa Premier League dhidi ya West Ham.
Utovu wa nidhamu kwa waamuzi baada ya Paul Pogba kujirusha, Mourinho alijikuta akishindwa kuzuia hisia zake akiwa eneo lake la kujidai na kuibutua chupa iliyokuwa mbeke yake kwa hasira.
Akipewa maelekezo na mwamuzi wan ne, Jon Moss alimwamuru Jose Mourinho kuondoka kwenye eneo la ufundi na aende jukwaani.
The manager was sent to the stands after becoming enraged and kicking a water bottle

Rui Faria  akaachwa kwenye benchi kumalizia dakika 60+ zilizosalia katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-1 dhidi ya West Ham.
West Ham hawajawahi kufunga zaidi ya goli moja katika uwanja wa Old Trafford katika majaribio 20 Ligi Kuu Uingereza, hivyo hawakuwa na ujanja zaidi ya kung’ang’ania sare, ambayo walifanikiwa kuipata licha ya presha kuongezeka dhidi yao dakika za mwisho.
Jose Mourinho was sent off for the second time in three league games at Old Trafford
Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus

About Unknown

RELATED POSTS

JE?//Utovu wa Nidhamu wa Jose Mourinho Unaigharimu Manchester United/???? JE?//Utovu wa Nidhamu wa Jose Mourinho Unaigharimu Manchester United/???? Reviewed by Unknown on 12:15:00 AM Rating: 5

0 comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments ( Atom )

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system

Social Share

  • Popular Post
  • Comments
  • Category

Popular Posts

  • Majina Ya Wanafunzi 1600 Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma
    Majina Ya Wanafunzi 1600 Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma
    N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ADMATHA J MWAIPOPO 2 KIGOMA S0247 BO...
  • CHEMSHA BONGO
    CHEMSHA BONGO
    Kupitia hii picha unaweza UKapata wachezaji wa 3 Unazani wanaweza kuwa kina nani hao.
  • :VIDEO>Ushawahi kuona maajabu  ya mtu wa ajabu duniani kweli Dunia ina mambo jamani
    :VIDEO>Ushawahi kuona maajabu ya mtu wa ajabu duniani kweli Dunia ina mambo jamani
  • MAN UNITED YAPOKONYWA TONGE MDOMONI DK Ya 90
    MAN UNITED YAPOKONYWA TONGE MDOMONI DK Ya 90
    Mechi za Ligi Kuu Uingereza zimeendelea usiku wa January 12, kwa vilabu vya Machester United  kuwa mgeni wa  Newcastle Unite...
  • SERIKALI YA SASA HAIMUONEI MTU YEYOTE>>>>>>>MAKAMU WA RAISI
    Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali haina nia ya kumuonea mtu yeyote katika utumbuaji w...
  • ZIFAHAMU SHERIA 10 ZA MSWAKI
    1. Msishirikiane mswaki, mswaki unatakiwa utumike na mtu mmoja tu. 2. Safisha mswaki kwa maji ya bomba kwani yale ndio yanakuwa na kas...
  • SIFA 10 ZA MWANAUME AMBAZO KILA MWANAMKE HUKOSHWA KUWA NAYE JE WWE UNAZO HIZO SIFA ZISOME KISHA UJIANGALIE KUWA UNAZO
    1. Mwanaume ambaye atamuheshimu, wanaume wengi hujiona wao kuwa ni bora zaidi ya wapenzi wao na kuwaona wapenzi wao kuwa ni kifaa cha mapen...
  • UHOLANZI HOI
    for a route back into the matc +33 +33
  • UNITED WAONDOKA NA POIN 3 AMFILD
    UNITED WAONDOKA NA POIN 3 AMFILD
    Manchester united walikuwa nawakati mgumu wakuhakikisha kuwa wanaondoka na point 3 muhimu mbele ya Liverpool Na hatimae goli la dk ya 76 li...
  •  VIDEO;LIVERPOOL YAKWAMA KOMBE LA LIGI/ FAINALI SOUTHOMPTON VS HULLCITY/MANCHESTER UNITED.
    VIDEO;LIVERPOOL YAKWAMA KOMBE LA LIGI/ FAINALI SOUTHOMPTON VS HULLCITY/MANCHESTER UNITED.
    SHARE PICTURE Shane Long is mobbed by his Southampton team-mates after scoring the only goal of the game against Liverpoo...

Recent comments

Labels

  • AFYA
  • BIASHARA/UCHUMI
  • BURUDANI
  • EBA TV
  • HABARI
  • MAKALA
  • MATUKIO
  • MICHEZO
  • VIDEO
  • VIJIMAMBO

Find Us On Facebook

EBA BLOG

@EBA BLOG. Powered by Blogger.

VIDEO

Related Posts Display

Comments

Item Post Navigation Display

Featured Posts

Facebook

ZAMARADI ANENA JAMBO

Looped Slider

Labels

  • AFYA
  • BIASHARA/UCHUMI
  • BURUDANI
  • EBA TV
  • HABARI
  • MAKALA
  • MATUKIO
  • MICHEZO
  • VIDEO
  • VIJIMAMBO

VIDEO

VIDEO

Kigali Fashion Week Highlights

Full Width CSS

Search This Blog

Blog Archive

  • ►  2017 (14)
    • ►  June (5)
    • ►  March (2)
    • ►  February (3)
    • ►  January (4)
  • ▼  2016 (423)
    • ►  December (7)
    • ▼  November (20)
      • //////...............Jamaa akutwa na nyama ya mbwa...
      • MWANAFUNZI DARASA LA SITA AMUOMBA RAIS MIKONO YA B...
      • ...............Mourinho awajibishwa na FA mara ya ...
      • Taarifa za beki wa Yanga (Bossou) ni mkanganyiko m...
      • Wenger: "Ni Muhimu kumbakisha Alexis Sanchez Arsenal"
      • JE?//Utovu wa Nidhamu wa Jose Mourinho Unaigharimu...
      • Lowassa Awajibu wanasiasa waliodai Kuwa ni mgonjwa
      • WALIOSOMA VYUO VIKUU BILA SIFA KUFUKUZWA KAZI.....
      • WASICHANA WATAKIWA KUWEKA JUHUDI ZAIDI KATIKA MASO...
      • FULU VIDEO>: TAIFA STARS YAKUBALI KIPIGO CHA 3...0...
      • Wanafunzi wapatiwa mafunzo ya usalama barabarani
      • ARSENAL YAMKODOLEA MACHO CHRIS SMALLING
      • YA FAHAMU MADHARA YA KUNYWA POMBE WAKATI WA UJAUZITO
      • KIHARUSI NI NINI????} UJUE UGONJWA WA KIHARUSI>>>>.
      • ZIFAHAMU DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
      • Trump kuwarejesha wahamiaji kwao>>>..
      • ONGEZA SIKU NA VIDEO>>> YA ERICK OMOND SALOME REMIX
      • MGOSI<>ITAKUWA AIBU SIMBA IKIKOSA UBIGWA.......
      • VIDEO<>WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WAPEWA ONYO KALI>>>>
      • WALALAMIKIA UUZAJI HOLELA WA MAENEO YA WAZI.....
    • ►  October (12)
    • ►  August (13)
    • ►  July (58)
    • ►  June (66)
    • ►  May (105)
    • ►  April (103)
    • ►  March (12)
    • ►  February (11)
    • ►  January (16)
  • ►  2015 (142)
    • ►  December (32)
    • ►  November (44)
    • ►  October (66)

Editors Picks

Follow us

Random Posts

Recent Posts

random posts

About me

Labels

  • MICHEZO (194)
  • HABARI (178)
  • MATUKIO (103)
  • BURUDANI (50)
  • VIDEO (41)
  • AFYA (14)
  • BIASHARA/UCHUMI (11)
  • EBA TV (8)
  • VIJIMAMBO (5)

Formulir Kontak

Name

Email *

Message *

EBA BLOG

Posts
Atom
Posts
Comments
Atom
Comments

Followers

Powered By Blogger
Powered By Blogger

Fashion

Technology

Fashion

BIASHARA NA UCHUMI

Fashion

KWA HABARI ZAIDI

KWA HABARI ZAIDI
Eba blog paza sauti yako

Social Icons

Fashion

MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
wasiliana nami kupitia 0764722978 au eliabaraka87@gmail.com/twitter @Elia1

Label

MICHEZO HABARI MATUKIO BURUDANI VIDEO AFYA BIASHARA/UCHUMI EBA TV VIJIMAMBO MAKALA

Tags

  • AFYA
  • BIASHARA/UCHUMI
  • BURUDANI
  • EBA TV
  • HABARI
  • MAKALA
  • MATUKIO
  • MICHEZO
  • VIDEO
  • VIJIMAMBO

Translate

Recent Posts

Pages

  • Home

Popular Posts

  • Majina Ya Wanafunzi 1600 Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma
    Majina Ya Wanafunzi 1600 Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma
    N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ADMATHA J MWAIPOPO 2 KIGOMA S0247 BO...
  • CHEMSHA BONGO
    CHEMSHA BONGO
    Kupitia hii picha unaweza UKapata wachezaji wa 3 Unazani wanaweza kuwa kina nani hao.
  • :VIDEO>Ushawahi kuona maajabu  ya mtu wa ajabu duniani kweli Dunia ina mambo jamani
    :VIDEO>Ushawahi kuona maajabu ya mtu wa ajabu duniani kweli Dunia ina mambo jamani
  • MAN UNITED YAPOKONYWA TONGE MDOMONI DK Ya 90
    MAN UNITED YAPOKONYWA TONGE MDOMONI DK Ya 90
    Mechi za Ligi Kuu Uingereza zimeendelea usiku wa January 12, kwa vilabu vya Machester United  kuwa mgeni wa  Newcastle Unite...
  • SERIKALI YA SASA HAIMUONEI MTU YEYOTE>>>>>>>MAKAMU WA RAISI
    Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali haina nia ya kumuonea mtu yeyote katika utumbuaji w...
  • ZIFAHAMU SHERIA 10 ZA MSWAKI
    1. Msishirikiane mswaki, mswaki unatakiwa utumike na mtu mmoja tu. 2. Safisha mswaki kwa maji ya bomba kwani yale ndio yanakuwa na kas...
  • SIFA 10 ZA MWANAUME AMBAZO KILA MWANAMKE HUKOSHWA KUWA NAYE JE WWE UNAZO HIZO SIFA ZISOME KISHA UJIANGALIE KUWA UNAZO
    1. Mwanaume ambaye atamuheshimu, wanaume wengi hujiona wao kuwa ni bora zaidi ya wapenzi wao na kuwaona wapenzi wao kuwa ni kifaa cha mapen...
  • UHOLANZI HOI
    for a route back into the matc +33 +33
  • UNITED WAONDOKA NA POIN 3 AMFILD
    UNITED WAONDOKA NA POIN 3 AMFILD
    Manchester united walikuwa nawakati mgumu wakuhakikisha kuwa wanaondoka na point 3 muhimu mbele ya Liverpool Na hatimae goli la dk ya 76 li...
  •  VIDEO;LIVERPOOL YAKWAMA KOMBE LA LIGI/ FAINALI SOUTHOMPTON VS HULLCITY/MANCHESTER UNITED.
    VIDEO;LIVERPOOL YAKWAMA KOMBE LA LIGI/ FAINALI SOUTHOMPTON VS HULLCITY/MANCHESTER UNITED.
    SHARE PICTURE Shane Long is mobbed by his Southampton team-mates after scoring the only goal of the game against Liverpoo...

Random Posts

Most Popular

  • Majina Ya Wanafunzi 1600 Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma
    Majina Ya Wanafunzi 1600 Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma
    N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ADMATHA J MWAIPOPO 2 KIGOMA S0247 BO...
  • CHEMSHA BONGO
    CHEMSHA BONGO
    Kupitia hii picha unaweza UKapata wachezaji wa 3 Unazani wanaweza kuwa kina nani hao.
  • :VIDEO>Ushawahi kuona maajabu  ya mtu wa ajabu duniani kweli Dunia ina mambo jamani
    :VIDEO>Ushawahi kuona maajabu ya mtu wa ajabu duniani kweli Dunia ina mambo jamani
  • MAN UNITED YAPOKONYWA TONGE MDOMONI DK Ya 90
    MAN UNITED YAPOKONYWA TONGE MDOMONI DK Ya 90
    Mechi za Ligi Kuu Uingereza zimeendelea usiku wa January 12, kwa vilabu vya Machester United  kuwa mgeni wa  Newcastle Unite...
  • SERIKALI YA SASA HAIMUONEI MTU YEYOTE>>>>>>>MAKAMU WA RAISI
    Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali haina nia ya kumuonea mtu yeyote katika utumbuaji w...
  • ZIFAHAMU SHERIA 10 ZA MSWAKI
    1. Msishirikiane mswaki, mswaki unatakiwa utumike na mtu mmoja tu. 2. Safisha mswaki kwa maji ya bomba kwani yale ndio yanakuwa na kas...
  • SIFA 10 ZA MWANAUME AMBAZO KILA MWANAMKE HUKOSHWA KUWA NAYE JE WWE UNAZO HIZO SIFA ZISOME KISHA UJIANGALIE KUWA UNAZO
    1. Mwanaume ambaye atamuheshimu, wanaume wengi hujiona wao kuwa ni bora zaidi ya wapenzi wao na kuwaona wapenzi wao kuwa ni kifaa cha mapen...
  • UHOLANZI HOI
    for a route back into the matc +33 +33
  • UNITED WAONDOKA NA POIN 3 AMFILD
    UNITED WAONDOKA NA POIN 3 AMFILD
    Manchester united walikuwa nawakati mgumu wakuhakikisha kuwa wanaondoka na point 3 muhimu mbele ya Liverpool Na hatimae goli la dk ya 76 li...
  •  VIDEO;LIVERPOOL YAKWAMA KOMBE LA LIGI/ FAINALI SOUTHOMPTON VS HULLCITY/MANCHESTER UNITED.
    VIDEO;LIVERPOOL YAKWAMA KOMBE LA LIGI/ FAINALI SOUTHOMPTON VS HULLCITY/MANCHESTER UNITED.
    SHARE PICTURE Shane Long is mobbed by his Southampton team-mates after scoring the only goal of the game against Liverpoo...

Recent Comments

Created By Sora Templates & My Blogger Themes
  • Home
  • About
  • Contact
  • Error Page