Mchezaji wa zamani wa Uingereza Ashley Cole amethibitisha kujiunga na LA Galaxy ya Major League Soccer nchini Marekani.
Cole, ambaye aliwahi kuzichezea klabu za Arsenal na Chelsea kabla ya kutimkia Rome, alicheza mechi 11 katika miezi 18 klabuni hapo, na msimu huu haja cheza hata mechi moja
0 comments:
Post a Comment