Comments


VIDEO MAGOLI YA EPL AUGUST 13

August 13 2016 Ligi Kuu England msimu wa 2016/2017 ilianza rasmi kwa michezo saba kupigwa katika viwanja tofauti tofauti nchini England, kwa upande wa Ligi Kuu Englandmsimu huu unatabiriwa kuwa ni msimu wa ushindani zaidi kuliko misimu kadhaa iliyopita kutokana na kuwasili kwa makocha wenye mvuto kwa mashabiki.
Miongoni mwa michezo iliyochezwa leo ni mchezo kati ya Hull City dhidi ya bingwa mtetezi wa kombe hilo Leicester City, mabingwa hao watetezi wakiwa ugenini leo August 13 wamekubali kipigo cha goli 2-1, magoli ambayo yamefungwa na Adama Diomandedakika ya 45 na Robert Snodgrass dakika ya 57 baada ya wao kufunga goli la kufutia machozi kwa mkwaju wa penati kupitia Riyad Mahrez dakika ya 47.
3732345300000578-3739115-image-a-55_1471112656820
Man City ambao wanafundishwa na kocha mpya mwenye rekodi nzuri Pep Guardiolawalicheza dhidi ya Sunderland katika uwanja wao wa nyumbani na kubanwa mbavu licha ya kuibuka na ushindi wa goli 2-1, magoli ya Man City yalifungwa na Sergio Aguerodakika ya 4 kwa mkwaju wa penati na Patrick McNair aliyejifunga dakika ya 87 ya mchezo ikiwa zimepita dakika 16 toka Jermain Defoe aisawazishie Sunderland.
EP
Msimamo wa Ligi Kuu England baada ya kuchezwa mechi za ufunguzi August 13 2016
 Matokeo ya mechi zote saba za EPL zilizochezwa leo August 13 2016
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system