Comments


MOTO WATOKEA KATIKA KIWANDA CHA RANGI DAR...ES SALAM

March 4 2016 moja ya tukio lililokusanya umati wa watu ni hii ya ghara la kuhifadhia rangi kwenye kiwanda cha Sadoline kilichopo maeneo ya tazara  Dar es salaam,   baada ya kuungua  moto ambao bado haujafahamika mpaka sasa nini chanzo chake. Kwa mujibu wa mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto wilaya ya Kinondoni adam hamisi ngao amesema moto huo ulianza  kuwaka muda wa saa moja za usiku .
Taarifa za ndani zinaarifu kuwa hakuna mtu yeyote aliye poteza maisha katika tukio hilo.
.FULU VIDEO AJALI YA MOTO KIWANDA CHA RANGI 
Picha zote kwa hisani ya miladi ayo
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments System

Disqus Shortname

Comments system